
Philipo Mulugo
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Ripoti ya Ushindani ya Dunia ya mwaka 2013 – 2014
Ripoti hiyo inaonyesha kwamba, Tanzania inashika nafasi ya 125 duniani kwa kuwa na taasisi zinazovutia mazingira ya kiushindani kibiashara miongoni mwa mataifa 128, jambo ambalo ni mporomoko wa hatua tatu kutoka nafasi ya 120 katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita iliposhika nafasi ya 120
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
Kwa mujibu wa Mbowe, Operesheni Kimbunga halikuwa na maandalizi ya kutosha na lilifanyika kwa chuki na uonevu
Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli
Dk. Magufuli: Tatizo la kuharibika kwa barabara linasababishwa na ujenzi duni wa wakandarasi, lakini kwa kiasi kikubwa huharibiwa na magari yanayozidisha mizigo.
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia
Mmoja wa viongozi wanaounda ushirika huo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia alithibitisha taarifa hizo huku akisisitiza kuwa nia ya kufanya hivyo ni kuhakikisha wanaiondoa madarakani CCM mwaka 2015.
Sunday, November 10, 2013
Zitto: Nimechoka Kuzushiwa na kuchafuliwa

Kenya yamuunga mkono JK

Lowassa: Nasikitishwa elimu duni shule za kata
Tuesday, November 5, 2013
Taswira ya Tanzania kiuwekezaji yadorora

Elimu ya Tanzania imekosa mkombozi
